Vituko na vioja vya wadada wa benki

Pamoja na huduma mbovu za baadhi ya wafanyakazi wa benki labda wateja wengine nao wana matatizo. Au wengine mnaenda benki tofauti kila siku?
Benki yako(yaani una akaunti hapo muda mrefu) lazima utakuwa unajulikana na wahudumu wengi tu na mnaweza kuwa marafiki kitu ambacho kitakusaidia kupata huduma nzuri ambayo unastahili kuipata hata ukiwa huna rafiki.
Mimi ninapo-bank nawajua wahudumu wote hadi branch manager kwa sababu hii labda ndio maana napata first class service,wafanyakazi wote wa bank hadi walinzi wa security company wananifahamu na ni 'marafiki'
Habari ya kuibiwa hela na teller ukishafahamiana na hawa watu haipo,tena muda mwingine unakuta foleni kubwa au system down unamuachia hela anakugongea tu muhuri system ikiwa fresh anamalizia transaction.
Tuwaheshimu wengine na sisi watatuheshimu.
Kuna mfanyakaz yeyote wa kike ktk hio benk unayoenda umempiga dudu?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu za mida hii?

Leo nimeona tuwaangazie hawa dada zetu wa benki ambao baadhi yao wanadharau sana kitu ambacho ni kinyume na maadili ya kazi zako.

Kuna kipindi rafiki yangu alienda benki moja kuulizia wamefikia wapi mchakato wa kuwaita kwenye " interview " cha ajabu yule dada akamjibu nanukuu " unadhani ukijipitisha hapa ndio utaonewa huruma" .

Mimi pia kuna dada benki teller alinidharau wakati ananihidumia nikamuangalia tu.

Je wewe umekutana na lipi kutoka kwa hawa Maofisa wa kike wa benki?

Nawasilisha.
Chezea nguvu ya maku wewe. Yaani wanasahau kabisa kuwa mteja ndiye anayempeleka msalani coz anajua hata afanye nini boss hasemi lolote maana anapona hapo. Wa CRDB ndio wamezidi mno aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vitu nilienda kulipia manispaa ya kinondoni, ss ndani mule kuna crdb, basi nikakaa foleni wee kuja kutahamki kumbe system imegoma transfer hazifanyiki basi huyooo kwa uzoefu wangu mdogo nikaenda kwa wahasibu nilipie kwa cash, wakanijibu kistaarabu kwamba hawawezi kupokea cash mpaka bank wawataarifu, nikarudi bank nikaingia na kumwambia 'bi teller', waambieni basi kule watupokelee cash...weweee alivyonijibu kwa nyodo na dharau eti 'nani kakupa ruhusa kuenda kule'...mama mama mama wee kilichomkuta naona aliniota usiku, nilimbadilikia ghafla nilimfokea km mbwa nikamwambia hela yangu ndo inakuweka hapa so uwe na adabu nikampaka vzr sana alinywea km mchicha uliochemshwa!
 
Pamoja na huduma mbovu za baadhi ya wafanyakazi wa benki labda wateja wengine nao wana matatizo. Au wengine mnaenda benki tofauti kila siku?
Benki yako(yaani una akaunti hapo muda mrefu) lazima utakuwa unajulikana na wahudumu wengi tu na mnaweza kuwa marafiki kitu ambacho kitakusaidia kupata huduma nzuri ambayo unastahili kuipata hata ukiwa huna rafiki.
Mimi ninapo-bank nawajua wahudumu wote hadi branch manager kwa sababu hii labda ndio maana napata first class service,wafanyakazi wote wa bank hadi walinzi wa security company wananifahamu na ni 'marafiki'
Habari ya kuibiwa hela na teller ukishafahamiana na hawa watu haipo,tena muda mwingine unakuta foleni kubwa au system down unamuachia hela anakugongea tu muhuri system ikiwa fresh anamalizia transaction.
Tuwaheshimu wengine na sisi watatuheshimu.
Hahah...unachosema ni kweli kabisa. hata mimi ndo utaratibu wangu. kila Bank ninayoenda lazima ni-recruit marafiki na tips za hapa na pale. yaani kama naenda Bank nampigia simu ananijazia bank slip na mimi naenda kumalizia signature. mpaka branch manager wanakuwa washikaji kwani nilikuwa nawatoa tips. sometimes nilikuwa nampigia manager achukue hela kwenye A/C yangu ampe teller aniletee ofisini......ukiwajuana na watu raha sana...
 
Pamoja na huduma mbovu za baadhi ya wafanyakazi wa benki labda wateja wengine nao wana matatizo. Au wengine mnaenda benki tofauti kila siku?
Benki yako(yaani una akaunti hapo muda mrefu) lazima utakuwa unajulikana na wahudumu wengi tu na mnaweza kuwa marafiki kitu ambacho kitakusaidia kupata huduma nzuri ambayo unastahili kuipata hata ukiwa huna rafiki.
Mimi ninapo-bank nawajua wahudumu wote hadi branch manager kwa sababu hii labda ndio maana napata first class service,wafanyakazi wote wa bank hadi walinzi wa security company wananifahamu na ni 'marafiki'
Habari ya kuibiwa hela na teller ukishafahamiana na hawa watu haipo,tena muda mwingine unakuta foleni kubwa au system down unamuachia hela anakugongea tu muhuri system ikiwa fresh anamalizia transaction.
Tuwaheshimu wengine na sisi watatuheshimu.
Sasa unafikiri kila mtu ana muda wa "kufahamiana" na mtoa huduma wa ofisi wa kila taasisi anayopita? Wengine muda ni mali na tunazo ofisi zetu pia nazo zina viyoyozi kama za hao bank tellers wenye nyodo na hata kama hazina viyoyozi zinalipa vyema kuliko visenti vyao uchwara na bado tunawaletea biashara na hatuna nyodo. By the way ni miongozo ya bank gani inaagiza ili upate huduma nzuri (ambayo ni haki yako) ni lazima uwe na urafiki na hao mahousegirl wao (bank tellers sijui)? Nakosa muda hata wa kumpigia mama mzazi nianze kupoteza muda kujipendekeza kwa KIMA ambaye hana adabu na bila mimi hana sababu ya kuwepo hapo alipo? Wajiheshimu na kuheshimu wateja bhana, heshima kitu cha bure na kwenye kazi kama zao ni kitu cha LAZIMA hata kama ana ugomvi na bwana wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU WAKATI MWINGNE DHARAU ZNATOKANA NA AKAUNT INAVYOSOMA, KAMA BALANCE NI M 5 WANAKUONA KAPUKU TU

ILA AKAUNTI INA M 100 NA KUENDELEA HUKO, OH, MBNA HATA KWENYE CM ATAKUWA ANAKUTAFUTA NA HUDUMA UTAPEWA KWA SAUT YA MAPENZ NA MACHO YA KULEGEA.
 
Pamoja na huduma mbovu za baadhi ya wafanyakazi wa benki labda wateja wengine nao wana matatizo. Au wengine mnaenda benki tofauti kila siku?
Benki yako(yaani una akaunti hapo muda mrefu) lazima utakuwa unajulikana na wahudumu wengi tu na mnaweza kuwa marafiki kitu ambacho kitakusaidia kupata huduma nzuri ambayo unastahili kuipata hata ukiwa huna rafiki.
Mimi ninapo-bank nawajua wahudumu wote hadi branch manager kwa sababu hii labda ndio maana napata first class service,wafanyakazi wote wa bank hadi walinzi wa security company wananifahamu na ni 'marafiki'
Habari ya kuibiwa hela na teller ukishafahamiana na hawa watu haipo,tena muda mwingine unakuta foleni kubwa au system down unamuachia hela anakugongea tu muhuri system ikiwa fresh anamalizia transaction.
Tuwaheshimu wengine na sisi watatuheshimu.
Sasa mpaka ufahamike ndio upatiwe heshima yako ! Hii haijakaa sawa
 
Mkuu inategemea na wewe unajitambua vip.Mimi ninavyojitambua hao watumishi wa Benki hawathubutu kunizingua,labda kama hawataki kazi!
Haaaaa Mkuu unaonekana unaweza fukuzisha mtu kazi
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Katika dunia ya sasa Mteja ni mfalme, huitaji kujuana na mtu bank ili uhudumiwe hawa wa dada huwa wanajisahau saana ni management tu ya hizo bank huwa hazipati feed back juu ya wateja wanavyonyanyaswa lakini kama wanapata feedback hivi vijidada vinaweza hata kufukuzwa kazi
Sema wa Tz tunakuwa na kawaida ya kuchukulia poa, if someone is serving you and you are not happy about the service ipeleke kwa Management
Kwa taarifa yenu hivi vidada vinalazimika ku smile kwa wateja na havitakiwi kabisa kutumia sim vikiwa vibandani
Na ikitokea kimebania pesa cctv zinawa catch

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu customer care hovyo sana
 
Kuna vitu nilienda kulipia manispaa ya kinondoni, ss ndani mule kuna crdb, basi nikakaa foleni wee kuja kutahamki kumbe system imegoma transfer hazifanyiki basi huyooo kwa uzoefu wangu mdogo nikaenda kwa wahasibu nilipie kwa cash, wakanijibu kistaarabu kwamba hawawezi kupokea cash mpaka bank wawataarifu, nikarudi bank nikaingia na kumwambia 'bi teller', waambieni basi kule watupokelee cash...weweee alivyonijibu kwa nyodo na dharau eti 'nani kakupa ruhusa kuenda kule'...mama mama mama wee kilichomkuta naona aliniota usiku, nilimbadilikia ghafla nilimfokea km mbwa nikamwambia hela yangu ndo inakuweka hapa so uwe na adabu nikampaka vzr sana alinywea km mchicha uliochemshwa!
Aiseee mkuu umetisha Mimi nilivyo mwoga ningenywea tu haaa
 
Hahah...unachosema ni kweli kabisa. hata mimi ndo utaratibu wangu. kila Bank ninayoenda lazima ni-recruit marafiki na tips za hapa na pale. yaani kama naenda Bank nampigia simu ananijazia bank slip na mimi naenda kumalizia signature. mpaka branch manager wanakuwa washikaji kwani nilikuwa nawatoa tips. sometimes nilikuwa nampigia manager achukue hela kwenye A/C yangu ampe teller aniletee ofisini......ukiwajuana na watu raha sana...
Huo sio utaratibu kaka mnavunja kanuni but hongera zako
 
Sasa unafikiri kila mtu ana muda wa "kufahamiana" na mtoa huduma wa ofisi wa kila taasisi anayopita? Wengine muda ni mali na tunazo ofisi zetu pia nazo zina viyoyozi kama za hao bank tellers wenye nyodo na hata kama hazina viyoyozi zinalipa vyema kuliko visenti vyao uchwara na bado tunawaletea biashara na hatuna nyodo. By the way ni miongozo ya bank gani inaagiza ili upate huduma nzuri (ambayo ni haki yako) ni lazima uwe na urafiki na hao mahousegirl wao (bank tellers sijui)? Nakosa muda hata wa kumpigia mama mzazi nianze kupoteza muda kujipendekeza kwa KIMA ambaye hana adabu na bila mimi hana sababu ya kuwepo hapo alipo? Wajiheshimu na kuheshimu wateja bhana, heshima kitu cha bure na kwenye kazi kama zao ni kitu cha LAZIMA hata kama ana ugomvi na bwana wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono 100%
 
MKUU WAKATI MWINGNE DHARAU ZNATOKANA NA AKAUNT INAVYOSOMA, KAMA BALANCE NI M 5 WANAKUONA KAPUKU TU

ILA AKAUNTI INA M 100 NA KUENDELEA HUKO, OH, MBNA HATA KWENYE CM ATAKUWA ANAKUTAFUTA NA HUDUMA UTAPEWA KWA SAUT YA MAPENZ NA MACHO YA KULEGEA.
Haaaaaa na sie wa 30000cr je
 
Back
Top Bottom