😀😀😀
Why?
Haki ya nani mi nayalia hapo hapo!Imeisha hiyoView attachment 2813254
Siyo anayepinga mabadiliko. Anapinga mambo ya LGBTQ kuingizwa kanisani 😬😬😬
Kiki 🚮🚮🚮AFUNGA NDOA NA WANAWAKE 30 NDANI YA SIKU MOJA.
Mwimbaji Harrysong, nyota wa Afrobeat kutoka Nigeria, amekuwa gumzo baada ya kuvunja rekodi ya kihistoria kwa kuoa wanawake 30 ndani ya siku moja, awali rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na gwiji Fela Anikulapo Kuti ambaye alioa wanawake 27 kwa siku.View attachment 2813141
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo lazima wapige!
bado kuna torrenting!!