Na ukujekhaaah
Umetafna mirungi etmbna mabwakuuu.
Huu uzi mnauharibu. Hizi si upeleke kwenye ule uzi wako wa mambo ya witches? Inakera mtu unakuja hapa kucheka na memes na vituko unakutana na mapicha ya uchawi tupu. Najua unajua kuwa unajua kila kitu lakini kujua kila kitu ni pamoja na kuheshimu hisia za wengine. Singlehanded unauharibu huu uzi!
Pole sanaHuu uzi mnauharibu. Hizi si upeleke kwenye ule uzi wako wa mambo ya witches? Inakera mtu unakuja hapa kucheka na memes na vituko unakutana na mapicha ya uchawi tupu. Najua unajua kuwa unajua kila kitu lakini kujua kila kitu ni pamoja na kuheshimu hisia za wengine. Singlehanded unauharibu huu uzi!
pole sana , vipi maendeleo kwa leo?Nashindwa kupumua kabisa
kichwa kinaniuma,koo limekauka napumulia mdomo,nahisi baridi kalii,masikio meziba,macho ynauma michoz tu inatoka,
Mniombee, mwili unaenda kushindwa.

