Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Dunia na Mwezi zinavyoonekana baada ya kupigwa picha na chombo cha anga za mbali Cassini... Wakati hii inapigwa chombo hicho kilikuwa kinaizunguka sayari ya Saturn umbali wa zaidi ya kilomita millioni 900.. Mimi na wewe tupo hapo kwenye nyota hiyo kubwa...
FB_IMG_1698900682586.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom