Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,335
- 829,486
- Thread starter
- #191,861
Dunia na Mwezi zinavyoonekana baada ya kupigwa picha na chombo cha anga za mbali Cassini... Wakati hii inapigwa chombo hicho kilikuwa kinaizunguka sayari ya Saturn umbali wa zaidi ya kilomita millioni 900.. Mimi na wewe tupo hapo kwenye nyota hiyo kubwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
