Watoto wa 2000s ndio wanasumbua mtaani saiv itakulazimu ujue tuUna uzoefu na hivi vibegi eeh!?![]()

Hata mimi pia naona si mbaya. Na pia sidhani kama mafao yake yatakuwa yakinyonge kihivyo, huwenda hata yuko pale kwa sababu maalumu!!This, I believe, is not an issue. Hiki anachofanya ndicho kitamfanya asife mapema kuliko tu kama angebweteka na kukaa nyumbani kula mafao. Wazungu unakuta akistaafu ndiyo kwanza anaanza career nyingine. Na inawasaidia sana kusukuma miaka wakiwa bize.
Mimi nampongeza afande kwa uamuzi wake na huyu anayetaka kumpangia maisha yake ni mnafiki tu![]()