Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hapa ninapoishi kuna mmama anapika maandazi kaumbika hivi hivi. Ni very kind nikinunuaga maandazi anapokea hela kwa mikono miwilii yaani najisikiaga raha sana najiona kama mimi ndo mume wake yaani.

Sijui nimtongoze sema mmh hapana lkn anakosha sana asee
 
Mi nina getto tu 😅😅

1697959599389.jpg
 
#UNAAMBIWA Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.

Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara.

Aidha upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.

Sent using Jamii Forums mobile app

🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Screenshot_20231021_121219_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom