Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

"Pesa kubwa niliyowahi kuhongwa na mpenzi wangu ilikuwa milioni 200, nilihongwa na mpenzi wangu ambaye alikuwa anaishi Uingereza. Lakini sasa hivi nipo tayari kuolewa hata kwa elfu 20 kwasababu nimetumika sana"

"Nipo tayari kuolewa na mtu yoyote, awe mzee au kijana, lakini shida niliyonayo ni kwamba hata hao ninaowahitaji sasa hivi siwapati eeh Mungu nijaalie ndoa"- Jike Shupa
FB_IMG_1697951535169.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
#UNAAMBIWA Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.

Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara.

Aidha upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MCHUNGAJI MASHIMO ATOA TAMKO BAADA YA AHMED ALLY KUMKATIA SIMU

"Nimeona watu wa simba wanajisifu wapo juu wamesahau kuna mtu aliewafanya wawepo hapo juu, wamesahau kwamba mimi ndio nlisema simba SC kuwa itafanya vizuri Msimu huu na tayari wamechukua ngao ya jamii

Nimempigia simu msemaji wa simba Ahmed ally awaambie viongozi watoe sadaka yao kabla mchezo wa Super League Dhidi ya Al Ahly lakini hajapokea simu Yangu ameikata !

Mwambieni ikifika hadi jioni saa 10 hawajatoa sadaka Basi watapata laana watafungwa magoli mengi na Al Ahly, sitaki mashabiki watoe sadaka zao hii wanatakiwa kutoa viongozi wa simba sio mashabiki

Yanga niliwaambia watoe fungu la Kumi Wakadharau, laana Ambayo nimeishusha kwao ni Kushika Nafasi ya Tatu kwenye Ligi kuu Hadi watakapoleta Ile sadaka iliyobakia ya msimu uliopita, na wasipotoa hawatafika Popote wataishia Makundi" Amefunguka Mchungaji wa Taifa Pastor Daniel Mashimo
FB_IMG_1697952194024.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Botswana: Ili kupunguza Simba kuua ng'ombe, Wataalamu waliamua kuwachora baadhi ya Ng'ombe mfano kama wa macho sehemu zao za nyuma.
Baada ya miaka kadhaa Ng'ombe waliochorwa hakuna hata mmoja aliyeuliwa na Simba huku Ng'ombe 15 ambao hawakuchorwa waliuliwa na Simba!

"" Wamasai na Wasukuma kula chuma hii""
FB_IMG_1697952627810.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom