Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Walishindwa kupata mtoto kwa miaka minane lakini hatimaye muujiza umetokea baada ya maombi ya kufunga ya nabii na mtume mwaminifu. Sasa ni furaha tupu yaani
View attachment 2778885



Ila huyo wapili kulia ana nafuu 🏃🏃
Kama ni mdau wa threesome huyo hafai, huchelewi kuwaoa Wanawake 2 kwa siku moja alafu mkawa mnalala kitanda kimoja kama wake wa Dr Year![]()




ngumu kumeza, hapana aisee,

Naunga mkono hoja 🤗
Eti ana nafuu dah! 😁😁😁Ila huyo wapili kulia ana nafuu 🏃🏃
😅😅ngumu kumeza, hapana aisee,
Hii napinga![]()
Vitambi vya kushuka hivyo havina ladha, ukiwa una nanii ....hadi unyanyue tumbo 🙌Eti ana nafuu dah! 😁😁😁
Lakini wanakuwaga nazo za moto balaa 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Vitambi vya kushuka hivyo havina ladha, ukiwa una nanii ....hadi unyanyue tumbo 🙌
Hivi ukiwa model ndiyo hutakiwi kumiliki hata kitako cha kupiga kofi wakati wa mizagamuo 🙌🏃🏃🏃
Ni kweli lakini lazima uwe na zile bunduki tulizowahi kumiliki Wazee zamani aina ya Gobole.
Hata kama una shotgun, kuna jinsi ya ulengaji wa shabaha unaoweza kusaidia 😁😁😁Ni kweli lakini lazima uwe na zile bunduki tulizowahi kumiliki Wazee zamani aina ya Gobole.
Ukiwa na shotgun lazima ushindwe kazi 🏃🏃🏃
Hahaha............sio kwa Wanawake wa sasa Mkuu, ndiyo maana Wazee tumeamua kujificha huku shambani kukwepa aibu ndogo ndogo za kuambiwa tunamiliki shotgun bila vibali 🤪🏃🏃🏃Hata kama una shotgun, kuna jinsi ya ulengaji wa shabaha unaoweza kusaidia 😁😁😁