Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ

Screenshot_20231010_223101_Telegram.jpg
 
Lakini wanakuwaga nazo za moto balaa ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

View attachment 2778900
Ni kweli lakini lazima uwe na zile bunduki tulizowahi kumiliki Wazee zamani aina ya Gobole.

Ukiwa na shotgun lazima ushindwe kazi ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Hata kama una shotgun, kuna jinsi ya ulengaji wa shabaha unaoweza kusaidia ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Hahaha............sio kwa Wanawake wa sasa Mkuu, ndiyo maana Wazee tumeamua kujificha huku shambani kukwepa aibu ndogo ndogo za kuambiwa tunamiliki shotgun bila vibali ๐Ÿคช๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Back
Top Bottom