Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Waisraeli walishtukizwa vibaya. MOSSAD yao inayosifika sana sijui ilikuwa wapi

View attachment 2778731
Hii ni aibu kubwa ya pili kwa MOSAD.
Aibu ya kwanza ni pale mhalifu mwenye silaha alipofanikiwa kukaa chini ya mita 5 na hatimaye kumpiga risasi Waziri Mkuu aliyekuwa na maono na weledi wa taifa hilo Yizhak Rabin.
MOSAD wajitathimini maana kutokana na uhodari wao wamefanikiwa kupata kandarasi nyingi Duniani, wasipokuwa makini watapoteza soko.
 
Hii ni aibu kubwa ya pili kwa MOSAD.
Aibu ya kwanza ni pale mhalifu mwenye silaha alipofanikiwa kukaa chini ya mita 5 na hatimaye kumpiga risasi Waziri Mkuu aliyekuwa na maono na weledi wa taifa hilo Yizhak Rabin.
MOSAD wajitathimini maana kutokana na uhodari wao wamefanikiwa kupata kandarasi nyingi Duniani, wasipokuwa makini watapoteza soko.
Afadhali ya Yitzhak Rabin maana kama muuaji alikuwa ni wale wanaoitwa lone wolf na hakumwambia mtu huwa ni vigumu sana kuwagundua...na alikuwa mhafidhina wa Kiisraeli nadhani hivyo hata haingekuwa rahisi kumng'amua.

Hii operesheni ya HAMAS ni operesheni kubwa inayohusisha watu wengi na inashangaza kidogo kwamba eti MOSSAD na CIA hawakujua kabisa. Imekuwa ni sawa na Septemba 11 ya Wamarekani.

Tayari wapo wanaotia hatihati kwamba pengine walijua ila wakaiacha iendelee ili wapate sababu ya kuivamia Gaza na kuiharibu kabisa - sawa na wanaodhani kuwa September 11 iliachwa ili kupata kisingizio cha kwenda Afghanistan....
 
img_1_1697028206917.jpg
 
Back
Top Bottom