moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,217
Hii ni aibu kubwa ya pili kwa MOSAD.Waisraeli walishtukizwa vibaya. MOSSAD yao inayosifika sana sijui ilikuwa wapi
View attachment 2778731
Aibu ya kwanza ni pale mhalifu mwenye silaha alipofanikiwa kukaa chini ya mita 5 na hatimaye kumpiga risasi Waziri Mkuu aliyekuwa na maono na weledi wa taifa hilo Yizhak Rabin.
MOSAD wajitathimini maana kutokana na uhodari wao wamefanikiwa kupata kandarasi nyingi Duniani, wasipokuwa makini watapoteza soko.





