Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

e7f62a705de1b05ebce7eccdf9b170a8.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ndivyo Ernie Terrell alivyoonekana baada ya kumtaja Muhammad Ali kama Cassius Clay kabla ya pambano lao. “Jina langu nani.” - Muhammad Ali (1967) Ali alionyesha upande wake mweusi zaidi usiku huo wa Februari 6 1967 wakati angeweza kuangusha ngumi moja au mbili zaidi na kusababisha mwamuzi kusitisha pambano lakini akajizuia kiasi cha kumwadhibu Terrell kwa raundi 15 kamili.
FB_IMG_1697020865559.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo ana utoto mwingi; au pengine kapiga pesa za kutosha. Hata kama ana haki katika madai yake lakini njia anazotumia siyo sahihi. Atapotea!
Bahati mbaya mchezo wa masumbwi unahitaji watu wajitoe kwa ajili yako ili uweze kufanikiwa.
Lakini huyu kijana kuna watu wamemshikia akili.
Kila kinachofanyika kwa ajili yake anahisi kudhulumiwa.
Waachane nae waende wakakuze vipaji vipya
 
Back
Top Bottom