Mabaya ni habari.
Stori ya mazuri yako haina wateja.
Wakaazi wa Dunia wanapendezwa na habari mbaya mbaya.
Magazeti, radio, tv, mitandao, habari mbaya ndizo zinazowavutia wengi.
Jamii gani?
Kila mmoja anatafuta maokoto ya bure
Jamii imejaa wakosoaji wa rushwa lakini watu hao hao wakipata nafasi ya maamuzi wanakuwa wala rushwa wazuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.