Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Taifa la Mungu siyo kwa wayahudi hawa waliookotezwa okotezwa barani Ulaya.

Hawa baada kuuwawa kwa wingi na Hitler wakatafutiwa nchi wakatupwa.
Bado wana hasira kutoka kwenye kumbukumbu za mateso waliyopata barani Ulaya.
Wana Uhusiano wa mbali sana kizazi cha Nabii Ibrahim.
Hapana. Hawajaokotezwa okotezwa Ulaya.

Historia yao iko wazi (kwa wanaoamini Biblia)....ilibidi warudi nyumbani kwao Caanan na kuanzisha taifa lao tena baada ya kusambaratika utumwani kutokana na tabia yao ya kumuasi Mungu. Na hili lilifanyika mwaka 1948 - mwaka wa muhimu sana kwa wanaofuatilia unabii wa Biblia maana Mungu Aliwaahidi kuwarudisha nyumbani kwao. Na huu unabii ilikuwa lazima utimie kabla ya kurudi kwa Yesu.

Hata huu mgogoro wao na Wapalestina, kulingana na wasomi wa unabii wa Biblia, hautakaa uishe. Actually inatabiriwa kuwa itafika mahali karibu dunia nzima itakusanya majeshi yake kwenda kuwapiga yakiwemo majeshi ya Urusi. Na vita hii (Armageddon?) ndiyo itakuwa ya mwisho maana Masihi mwenyewe Atarudi kuimaliza once and for all!

Na hawa wote ni watoto wa Ibrahim - mmoja kutoka kizazi cha Isaka; na mwingine kutoka kizazi cha Ishmael. Mtoto halali vs. Mtoto wa kijakazi na uhasama wao hautaisha leo wala kesho🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Mama ❤️❤️❤️

255657797968_status_09d5bfe20bc942ed8415294dbbe0f184.jpg
 
Back
Top Bottom