Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1696690896968.png
 
Mvua zimeenda. Natumaini uchumi wake uko sawa na siyo kama Kandabongoman nimemuona juzi hapa kachoka balaa anachangiwa pesa ya kula
Bongoman huyu ninayemjua!!
Bongoman bhana alivuna pesa si mchezo.
Aliingia Nairobi, mapokezi yake tu watu wameuana.
Hapa Tanzania show yake moja Kilimanjaro Hotel ilikugharimu laki 1.
Na hiyo ni mwaka 1991.
Mzee Mwinyi alikuwa na kikao na watoa huduma za afya (nadhani manesi) alivunja kikao ili kwanza akamuone Bongoman.
Kama amefirisika itakuwa amekosea mahali
 
Back
Top Bottom