Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,223
- 829,226
- Thread starter
- #186,481
Kinguo cha mahaba
unapichua tu na kidole hichoo kimeshapanda chenyewe kama kimewekewa gilisi 
Umeibariki jioni yanguso byurifuu, na hichi
View attachment 2773621




Mitaa imetulea🔥Viwanja nitakuja na majibu maana nimetoka muda mitaa hiyo...Wenyeji wa Idodomya mpo? Viwanja vikali vya kujivinjari wikendi hii kwa mgeni asiyekunywa pombe wala kushobokea pisi kali viko wapi mitaa hii ya Uswahilini?
View attachment 2773313
Muangalie wenye viwango wasituharibie TaifaKenya maandamano ya kusaka wanaume yanaendelea.
Watanzania tukaokoe jahaziView attachment 2772378



Kumepooza sana aisee hii mitaa. Airport naona fence ipo mpaka hapa kona ya barabara ya Amaus kwenda kwenye hiki kihoteli.Mitaa imetulea🔥Viwanja nitakuja na majibu maana nimetoka muda mitaa hiyo...
Na huu upanuzi wa airport sijajua location nzuri ni ipi karibu na hapo
😂😂😂😂Mdekooo.... hicho kilifanya nikamtia mimba mtoto wa watu😍😍😍🤣🤣🤣🤣
Na wazungu na ngozi yao ile akikutana na kunguni wenyewe kabisa sipati picha 😁Hatimaye wamefikiwa
View attachment 2773532