Sultan masudi ndiye aliibuka mshindi ktk shindano la kumtafuta mtu aliye na sura mbaya zaidi Tanzania miaka hiyo ya 1990, akifuatiwa na Dr. remmy ongara huku Mshindi wa tatu akiwa ni Mzee Jangala.
Baada ya matokeo hayo kutangazwa aliyekuwa mshindi wa Pili yaani Dr remmy ongara akalalamika kuwa huyu masudi amependelewa!
Kwani amefanya uchunguzi amegundua masudi anatoka ktk familia iliyo na ugonjwa wa ukoma!
Hivyo hakustahili kumshinda yeye
Na Mzee Jangala pia alikata rufaa kuwa iweje yeye aonekane mrembo na kushinda nafasi ya tatu?
View attachment 2744171
Sent using
Jamii Forums mobile app