Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Wacha weeeeeeeh,Mambo ni shwari. Majukumu yalilazimisha nikae mbali na mtandao pendwa . Nimerudi tena kucheka na kuchekeshana.

utamu mpaka kisogoni😋mshamba_hachekwi.
Kakimbaumbau kako haka hapa 😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
View attachment 2728524View attachment 2728525

, Gigy na Mange Kimambi fanyeni maisha yenu nilikuwa nimelala ndio naamka Watanzania, Boss wangu Zuchu hawezi kuchambwa labda mimi niwe nimekufa lakini kama niko hapa mtandaoni basi Zuchu hachambwi"