Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Mambo ni shwari. Majukumu yalilazimisha nikae mbali na mtandao pendwa . Nimerudi tena kucheka na kuchekeshana.Dah!
Uko hai ndugu yangu?
Nilishakuulizia kila kona...Mzee wa Mwakaleli mpaka akaniahidi kuwa atajaribu kukutafuta.
Karibu tena aisee. Mungu ni mwema na natumaini kila kitu kiko salama![]()
Karibu sana aisee!Mambo ni shwari. Majukumu yalilazimisha nikae mbali na mtandao pendwa . Nimerudi tena kucheka na kuchekeshana.
Waziri mwandamizi Mwigulu Lameck
@tanzaniaparks

Allah akupe wepesi kwa yanayokusumbua manjilinji weye, let me see Tanzania nzima tukuabudu au sio, sababu wewe nani yani, Mungu au? Watakusujudia hao unaowavua nguo na bado wakakumbilia ving'ang'anizi unawajua na huwasemi shenz*"Asante sana mwamba. Hapa Jf kimeongezeka na kupungua nini kwa muda takriban mwaka uliopita?Karibu sana aisee!