Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Asante sana mwamba. Hapa Jf kimeongezeka na kupungua nini kwa muda takriban mwaka uliopita?
Hakuna jipya aisee. Mambo ni yale yale tu sawa na kitaa. Hapa uzi wa vituko bado kuko shwari watu wanacheka na kuondoa steresi. Kule selfika ndo kidogo kuna hekaheka kule. Kule nyumbani Binti Mpole na Jirani bado wapo japo kumedorora hatari. Vinginevyo, ni kama alivyojisemea Mfalme Sulemani. Hakuna jipya chini ya jua....
 
#UNAAMBIWA Mnyama ambae hadi sasa anashikilia rekodi ya dunia ya kutomuogopa Mnyama yeyote, Mtu au kitu chochote kile anaitwa Nyegere (Honey Badger), ana uwezo wa kuanzisha ugomvi na Binadamu au Wanyama wakali kama Simba, Nyoka wakubwa wenye sumu kali na wengine bila woga na akashinda.

Nyegere ana wivu usio na kipimo kwa jike lake hasa anapokuwa mawindoni akitembea nae na hata jani likimgusa Jike atalikata kwa hasira, hii yote ni kuonesha ubabe wake kwa jike kutokana na majike kuwa na tabia ya kuchagua madume mengine yenye nguvu zaidi. @tanzaniaparksView attachment 2728479
Ukiingia naye kwenye ugomvi jiandae kunyofolewa uume na makende yake.
Ugomvi wake na binadamu anapenda kukuwahi kwenye eneo hilo
 
Screenshot_20230825_104511_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom