Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20230804_112812_190.jpg
 
MAMA ALIYEPOTEZA WANAWE WANNE NI UCHUNGU MTUPU.

Pichani ni Liliani Msuya, Mama mzazi wa watoto wanne waliofariki katika ajali ya gari, Mbwewe Chalinze mkoani Pwani walipokuwa wanaenda msibani Kilimanjaro, akionekana ni mwenye majonzi na uchungu nyumbani kwake kijiji cha Kisangeni, Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro.
FB_IMG_1691178360121.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom