Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

d0a222a833cadc9e4f394a746da0df24.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi Bwana Miaka Ya 2013-2014 Mambo Yangu Hayakuwa Mazuri Kabisaaaaa, Nikapata Wazo Niende Nyanda Za Juu Kusini Kwa Mtaalamu Yule Anayetoa Utajiri Wa Kuku Kudonoa Punje Za Mahindi…..NIKAFIKA!!
Akanambia Kuku Huyu Punje Atakazodonoa Ndo Idadi Ya Miaka Utakayoishi Ukiwa Na Utajiri Mkubwa Kisha Utakata Moto GhaflaYani Utapata Kifo Cha Kushtukiza Hutapata Hata Nafasi Ya Kutubu!! Nikamwambia Sawa Mimi Kikubwa Niwe Tajiri Muachie Huyo HEN Adonoe!!

Kuku Alidonoa Punje Mbili Tu Akasepa!! Nikajisemea Moyoni Mmh Kwahiyo 2016 Tu Sitoboi!!

Oyaaaa Mwaka Wa 10 Huu Nadunda Na Sijaona Hata Huo Utajiri Wenyewe!!

Mungu Bwana Ndio Kila Kitu Zile Zilikuwaga Sound Tu!!

Nina Mwanangu Aliendaga Kuku Akala Kama Punje 20 Hivi, Aaah Mganga Akamwambia Sio KweliKuna Kitu Nimekosea Turudie Tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom