Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20230804-WA0118.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kupambana tu!

Maisha yana mitihani sana,kama ni wewe pole sana mzee.amini ipo siku utatoboa kama ni kibarua ipo siku utakuwa fundi mkuu yote ni kwa imani.
 
Ukimaliza kujenga nyumba ikiwa nzuri anasifiwa mwenye nyumba na nyumba yake nzuri auliziwi fundi alieijenga na kupewa maua yake, Maisha haya

Pambana mkuu Ila kwanini hizo tofali zina uwazi hapo katikati?
Ngoja waje...
 
Back
Top Bottom