Bwana Bongo
Senior Member
- Dec 12, 2021
- 167
- 239
Kuna sehemu nilipita nikasikia "kumi na tatu, kumi na tatu, kumi na tatu hiyoo ,kumi na tatu
Nikajiuliza sana hiyo kumi na tatu nini?
nikasema hata ngoja nichungulie, haiwezekani iyo kumi na tatu inipite hivi hivi nisijue ni nini?
nikachungulia!
Maji ya moto usoni, wakati naugulia maumivu nikasikia sauti imebadilika "kumi na nne kumi na nne , kumi na nne hiyo😄
Nikajiuliza sana hiyo kumi na tatu nini?
nikasema hata ngoja nichungulie, haiwezekani iyo kumi na tatu inipite hivi hivi nisijue ni nini?
nikachungulia!
Maji ya moto usoni, wakati naugulia maumivu nikasikia sauti imebadilika "kumi na nne kumi na nne , kumi na nne hiyo😄




