Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuna sehemu nilipita nikasikia "kumi na tatu, kumi na tatu, kumi na tatu hiyoo ,kumi na tatu

Nikajiuliza sana hiyo kumi na tatu nini?
nikasema hata ngoja nichungulie, haiwezekani iyo kumi na tatu inipite hivi hivi nisijue ni nini?

nikachungulia!
Maji ya moto usoni, wakati naugulia maumivu nikasikia sauti imebadilika "kumi na nne kumi na nne , kumi na nne hiyo😄
 
Kuna sehemu nilipita nikasikia "kumi na tatu, kumi na tatu, kumi na tatu hiyoo ,kumi na tatu

Nikajiuliza sana hiyo kumi na tatu nini?
nikasema hata ngoja nichungulie, haiwezekani iyo kumi na tatu inipite hivi hivi nisijue ni nini?

nikachungulia!
Maji ya moto usoni, wakati naugulia maumivu nikasikia sauti imebadilika "kumi na nne kumi na nne , kumi na nne hiyo
Umetisha

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kuna sehemu nilipita nikasikia "kumi na tatu, kumi na tatu, kumi na tatu hiyoo ,kumi na tatu

Nikajiuliza sana hiyo kumi na tatu nini?
nikasema hata ngoja nichungulie, haiwezekani iyo kumi na tatu inipite hivi hivi nisijue ni nini?

nikachungulia!
Maji ya moto usoni, wakati naugulia maumivu nikasikia sauti imebadilika "kumi na nne kumi na nne , kumi na nne hiyo
 
.
IMG-20230803-WA0261.jpg
 
Kuna sehemu nilipita nikasikia "kumi na tatu, kumi na tatu, kumi na tatu hiyoo ,kumi na tatu

Nikajiuliza sana hiyo kumi na tatu nini?
nikasema hata ngoja nichungulie, haiwezekani iyo kumi na tatu inipite hivi hivi nisijue ni nini?

nikachungulia!
Maji ya moto usoni, wakati naugulia maumivu nikasikia sauti imebadilika "kumi na nne kumi na nne , kumi na nne hiyo
Ha ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom