Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Tanga kabla ya kula chakula kinapashwa kwanza, Elewa neno Chakula
FB_IMG_1688918742448.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 


SIRI GOOGLE NA ChatGPT YATAJWA KUWA HATARI ZAIDI | AI NA ROBOTI ZALETA HOFU DUNIANI



The father of AI amejiuzulu Google na kuonya kuwa tunacheza na moto hatari zaidi kuliko hata masilaha ya nyuklia. Hata Steven Hawking kabla hajafa alionya sana kuhusu suala hili kuwa ni mojawapo kati ya mengi yanayoweza kumwangamiza mwanadamu hapa duniani...

Screenshot_20230709_192148_Samsung Internet.jpg

Screenshot_20230709_192245_Samsung Internet.jpg
 
Uzuri ni kwamba akili za watoto kwa kiasi kikubwa hutoka kwa mama kwa hivyo mapunyeto hayana athari zo zote katika hii ishu msiyasingizie...

Tatizo vijana wa siku hizi wanachagua wake kwa kuangalia matako badala ya akili 😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Screenshot_20230709_193143_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom