Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

949d0584-b5ef-4106-8863-40081b542823.jpg
 
Fikiria kodi za watanzania zinatumika na mawakili wa serikali kuwatetea waarabu wa Dubai wanaopora bandari zetu,halafu mawakili wasiokuwa wa serikali na wala hawalipwi chochote na serikali ndio wanatetea bandari zetu zisiporwe kwa gharama zao. Nimewaza sana mpaka nimetoa machozi
MdudeView attachment 2677905

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu Awabariki. Historia itawakumbuka...na akina Kitenge pia 🙏🏿
 
Back
Top Bottom