Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Naona timu moja tayari ishafika uwanjani tayari kwa mpambano...Timu pinzani (isomeke mzabzab) bila shaka itawasili muda si mrefu ujao.

Nani ataibuka kidedea?

Tutawajuza baada ya dakika 90 za mpambano huu wa kukata na shoka 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Screenshot_20211101-232443_Instagram.jpg
 
Naona timu moja tayari ishafika uwanjani tayari kwa mpambano...Timu pinzani (isomeke mzabzab) bila shaka itawasili muda si mrefu ujao.

Nani ataibuka kidedea?

Tutawajuza baada ya dakika 90 za mpambano huu wa kukata na shoka 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

View attachment 2667101
What a view 😍😍😍😍😍
 
Back
Top Bottom