Aiseee kumbe ni wewe?Kidume20, ye34nbe, mtu_wa_mungu
N. Kkkkk. Mods si watu wazuri aseee
Ila ngoja nitulie sasaivi ๐ค๐ค
Ndiyo mkuu wamelima 8, zimebaki 30 maana nimefungua 4 mpya acha tu asee unajua mpaka ofisini nilifika ๐๐๐๐.Aiseee kumbe ni wewe?
ID zako zote zaidi ya 20 mods walizilima life ban?
Kwa kweli itabidi utulie maana ulikuwa bully sana mitandaoni humu bila sababu....
@ye34nbe ilikupatia umaarufu mkubwa kwa kugawa dislikes nayo mods walipita nayo permanently? ๐๐๐
Ni utopolo tu hakuna cha high IQ wala nini ๐๐๐High IQ meme
Duuh mabaharia sio watuHata kama siyo mwanafunzi mabaharia wengine wakisikia tu "bebi sizioni siku zangu" wanachojua ni kukimbilia Botswana tu ndani ndani huko![]()


Hiki chakula kimenishinda kabisa
Ni utumbo, ndizi, njegere na nini?Hiki chakula kimenishinda kabisa
Iwafikie DP World! ๐ฌ๐ฌ๐ฌ
Aah msukuma huzijui njegere? Kwenu hazipo? Watu wengi wanakipenda ila mimi nimeshindwa kabisaNi utumbo, ndizi na nini?
Huwa kinauzwa migahawani? Nina safari ya kwenda huko....kinaonekana kitamu mbona?
Chakula chako pendwa ni nini?Aah msukuma huzijui njegere? Kwenu hazipo? Watu wengi wanakipenda ila mimi nimeshindwa kabisa
Unataka Onlyfans yake akaunti nzima? Wanamla mpaka kule kusikostahili. Iliniuma sana nikafuta kila kitu....Shimba ya Buyenze asee gracia ni mzuri mkuu, kweli tutafute hela huyu hata akila hela yako haikuumi sio kwa huu uzuri asee
View attachment 2667780
Hamjasema kuwa inakulida dhidi ya hiv gono na mimba zikubambikizwa