Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

b72071793303cc21df7efc33a7767d6c.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
UCHAWI UPO HADI KWENYE U MC DHA

"Ni kweli nilirogwa, ishu ilikuwa hivi, nimetoka nyumbani na gari yangu mwenyewe ile nafika ukumbini nakuta vyombo siyo vyangu na mazingira ya ukumbi siyo yangu, nilichokifanya niliwapigia vijana wangu simu kuwauliza wako wapi, waliponiambia wako sehemu fulani ilibidi niwashe gari tena kwenda kwenye ukumbi wangu, na hizo kumbi moja ilikuwa Mikocheni na ukumbi mwingine ulikuwa Sinza"

"Siku nyingine maiki iligoma kabisa kutoa sauti, nilipomgia MC mwenzangu mkongwe akaniambia bwana hapo umerogwa, mimi nimeacha hiyo kazi kwasababu kuna uchawi sana kwenye kazi ya u MC, hapo ndio nikajua kumbe nimelogwa, kuna mpiga picha mwingine aliniambia aliacha kazi ya kupiga picha kwenye sherehe kwasababu alikuwa anapiga picha vizuri, lakini akirudi nyumbani ili kuzisafisha kwenye kadi hazionekani, akaniambia kwenye hizi kazi kuna uchawi mkubwa sana"

"Juzi video yangu iliposambaa niliposema narogwa, kuna Mganga kutoka Kilimanjaro alikipigia simu akaniambia amesikitika sana na mimi kurogwa, akasema nimpe siku saba amzike MC anayeniroga ili watu waniheshimu lakini nikamwambia hapana, ngoja tumuachie Mungu, ila kiukweli kwenye hizi kazi kuna changamoto sana"- Dr. Cheni

ALIYE post
ni admin wangu Djparty On Mix
FB_IMG_1685544043548.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fable: DON'T ARGUE WITH DONKEYS

The donkey said to the tiger:

- "The grass is blue".

The tiger replied:

- "No, the grass is green."

The discussion heated up, and the two decided to submit him to arbitration, and for this they went before the lion, the King of the Jungle.

Already before reaching the forest clearing, where the lion was sitting on his throne, the donkey began to shout:

- "His Highness, is it true that the grass is blue?".

The lion replied:

- "True, the grass is blue."

The donkey hurried and continued:

- "The tiger disagrees with me and contradicts and annoys me, please punish him."

The king then declared:

- "The tiger will be punished with 5 years of silence."

The donkey jumped cheerfully and went on his way, content and repeating:

- "The Grass Is Blue"...

The tiger accepted his punishment, but before he asked the lion:

- "Your Majesty, why have you punished me?, after all, the grass is green."

The lion replied:

- "In fact, the grass is green."

The tiger asked:
- "So why are you punishing me?".

The lion replied:

- "That has nothing to do with the question of whether the grass is blue or green.

The punishment is because it is not possible for a brave and intelligent creature like you to waste time arguing with a donkey, and on top of that come and bother me with that question."

The worst waste of time is arguing with the fool and fanatic who does not care about truth or reality, but only the victory of his beliefs and illusions. Never waste time on arguments that don't make sense...

There are people who, no matter how much evidence and evidence we present to them, are not in the capacity to understand, and others are blinded by ego, hatred and resentment, and all they want is to be right even if they are not.

When ignorance screams, intelligence is silent. Your peace and quiet are worth more. 🤎
FB_IMG_1685549882444.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom