Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230424_002019_Instagram.jpg
 


1. Kwa wanaume wapenda viuno...
2. Kumbe si wamakonde pekee wenye utaalamu wa kunyonga nyonga nyonga...
3. Wadada, hata ukiwa bonge na una nyama zembe, kiuno kinakatika tuu, ona hapo. Kikubwa tuu usiwe na tumbo pakacha, utajikuta unakata tumbo badala ya kiuno...

Ladies, shake what ya mama gave yaa .

Kasinde.
Kikubwa tuu usiwe na tumbo pakacha, utajikuta unakata tumbo badala ya kiuno...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UCHAWI UPO HADI KWENYE U MC DHA

"Ni kweli nilirogwa, ishu ilikuwa hivi, nimetoka nyumbani na gari yangu mwenyewe ile nafika ukumbini nakuta vyombo siyo vyangu na mazingira ya ukumbi siyo yangu, nilichokifanya niliwapigia vijana wangu simu kuwauliza wako wapi, waliponiambia wako sehemu fulani ilibidi niwashe gari tena kwenda kwenye ukumbi wangu, na hizo kumbi moja ilikuwa Mikocheni na ukumbi mwingine ulikuwa Sinza"

"Siku nyingine maiki iligoma kabisa kutoa sauti, nilipomgia MC mwenzangu mkongwe akaniambia bwana hapo umerogwa, mimi nimeacha hiyo kazi kwasababu kuna uchawi sana kwenye kazi ya u MC, hapo ndio nikajua kumbe nimelogwa, kuna mpiga picha mwingine aliniambia aliacha kazi ya kupiga picha kwenye sherehe kwasababu alikuwa anapiga picha vizuri, lakini akirudi nyumbani ili kuzisafisha kwenye kadi hazionekani, akaniambia kwenye hizi kazi kuna uchawi mkubwa sana"

"Juzi video yangu iliposambaa niliposema narogwa, kuna Mganga kutoka Kilimanjaro alikipigia simu akaniambia amesikitika sana na mimi kurogwa, akasema nimpe siku saba amzike MC anayeniroga ili watu waniheshimu lakini nikamwambia hapana, ngoja tumuachie Mungu, ila kiukweli kwenye hizi kazi kuna changamoto sana"- Dr. Cheni

ALIYE post
ni admin wangu Djparty On MixView attachment 2641546

Sent using Jamii Forums mobile app
Dr. Cheni ameacha u-mc?!. Nilihudhuria sherehe fulani akiwa kama mshereheshaji ilikuwa poa sana.
 
Back
Top Bottom