Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Watu8
IMG-20230528-WA0106.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyemroga kafa huyo 🙆
Niliona mahali boya mmoja anamkoromea eti "we braza tangu asubuhi mpaka unapokwenda kulala unawaza kugegeda tu, mambo mengine yenye faida kwenye maisha yako huwa unayawaza saa ngapi?"

Mwenyewe jibu lake sasa...."kuna jambo gani jingine lenye faida zaidi ya kugegeda?"

Sijui huo mjadala uliendeleaje 😁😁😁
 
Niliona mahali boya mmoja anamkoromea eti "we braza tangu asubuhi mpaka unapokwenda kulala unawaza kugegeda tu, mambo mengine yenye faida kwenye maisha yako huwa unayawaza saa ngapi?"

Mwenyewe jibu lake sasa...."kuna jambo gani jingine lenye faida zaidi ya kugegeda?"

Sijui huo mjadala uliendeleaje 😁😁😁
🤣🤣🤣Huyo mshauri atakuwa alikosa kazi ya kufanya...huyu jamaa kwenye siasa ,sheria,uchumi,ujariamali,.michezo yeye vyote huwa vinageuka kugegeda tu mzabzab hivi ulirogelezewa papuchi?
 
Back
Top Bottom