Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

too personal 😂
1619829088162.jpg
 
tusifikirie sana tutakosa kuenjoy haya maisha mafupi 😂

Najua mkuu...

Huwa hayanipotezeagi muda kivile...

Sasa imagine wanasayansi juzi hapa wameshuhudia sayari moja ikimezwa na jua. Na wanasema kuwa hata dunia yetu itaishia kumezwa na jua hili litakapoanza kuishiwa Helium na Hydrogen....na kuanza kutanuka....

Ukimsoma Mfalme Sulemani ndiyo unaelewa alimaanisha nini aliposema kuwa mambo yote ni ubatili!
 
Najua mkuu...

Huwa hayanipotezeagi muda kivile...

Sasa imagine wanasayansi juzi hapa wameshuhudia sayari moja ikimezwa na jua. Na wanasema kuwa hata dunia yetu itaishia kumezwa na jua hili litakapoanza kuishiwa Helium na Hydrogen....na kuanza kutanuka....

Ukimsoma Mfalme Sulemani ndiyo unaelewa alimaanisha nini aliposema kuwa mambo yote ni ubatili!
wanasema 'everything in the universe, has a timeline'
 
Back
Top Bottom