Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hakuna mwanaume aliyewahi kumjulia mwanamke tusidanganyane. Nyinyi wenyewe hamjijulii mtu mwingine atawajuliaje? 😳😳😳

Wee msukuma acha ukorofi, sasa huon huyo dada hapo kwenye gari ameacha kuongea baada ya kuambiwa anaenda kupewa kitu anataka....

Kile kitu kinatuliza ila ukimaliza chapuo 3 bado ataanza kuongea tena maana yake ukeshe ukipiga chapuo kama unataka asiongee ongee au akae kimya....😅😅😅😅😅

Ila ndo fumbo mlilopewa wanaume, kuishi na sisi kwa namna tuende pamoja sio tushindane bali tupatane kuanzia mahaba, gharama za maisha, starehe, mapumziko, kulea watoto n.k. n.k.

Ila nimefungua darasa la kuwaelewa wanawake, kuingia bure kugraduate na hela....😁😁😁 💵😋😋😋.
 
Wee msukuma acha ukorofi, sasa huon huyo dada hapo kwenye gari ameacha kuongea baada ya kuambiwa anaenda kupewa kitu anataka....

Kile kitu kinatuliza ila ukimaliza chapuo 3 bado ataanza kuongea tena maana yake ukeshe ukipiga chapuo kama unataka asiongee ongee au akae kimya....😅😅😅😅😅

Ila ndo fumbo mlilopewa wanaume, kuishi na sisi kwa namna tuende pamoja sio tushindane bali tupatane kuanzia mahaba, gharama za maisha, starehe, mapumziko, kulea watoto n.k. n.k.

Ila nimefungua darasa la kuwaelewa wanawake, kuingia bure kugraduate na hela....😁😁😁 💵😋😋😋.
Nadharia tu hizo bageshi lakini ukiingia kwenyewe field hata makalikyulesheni ya akina Schrödinger yakasome.....

Kila mwanamke yuko unique na cha muhimu ni kumwelewa huyo uliyenaye yukoje. Ukifanikiwa kumwelewa japo kwa 35% shukuru Mungu. Mengine spana mkononi you learn as you go! Ndo maana wataalamu wanapendekeza sana watu wakae kwenye uchumba angalau si chini ya miaka miwili ili waweze kufahamiana japo kidogo na wajenge urafiki...

Jidanganye sasa ufanye papara eti unamjulia Kasie Matata. Sooner or later utakuja kugundua kwamba Kasie Matata umjuaye siyo yeye....na yeye mwenyewe hata hajui kuwa siyo yeye!

"Ishini nao kwa akili" Tulishaonywa!
 
IMG-20230529-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom