Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230524_092247_Instagram Lite.jpg
 
Hivi ni mtu ngapi zilizotoka Misri ndo zilifika nchi ya ahadi?

Mungu Alizinyoosha zingine zote zikaangamia njiani.

Ni kwa Neema ya Yesu Kristu tu kwa kweli maana Mungu wa Agano la Kale aisee Anatisha hatari
Kati ya watu wazima waliotoka Misri na kuingia nchi ya Ahadi ni Kalebu na Joshua tu wengine walifia njiani. Musa mwenyewe aliishia kuiona kwa mbali kwa kuonyeshwa na Mungu na kaambiwa hutaingia utafia kwenye mlima huu.

Watoto waliozaliwa jangwani na wale waliokuwa chini ya umri wa miaka 18 ndio waliingia Kaanani ila watu wazima walifia jangwani.

Lengo kuu la wana wa Israel kuzungushwa miaka 40 lilikuwa wasije wakakumbuka njia na kuamua kurudi nyuma baada ya kukutana na mambo mazito na ya kutisha.

Pia wasije wakafika Kaanani na kuanza kuwafundisha mambo waliyoyajua kipindi wakiwa Misri hasa kuabudu miungu ya kigeni.

Ila hawa watu nao walikuwa vichwa ngumu kunung'unika, kulalamika, kulaumu na kukata tamaa ilikuwa ni kawaida yao,kumbuka mkutano wa Kora walivyomezwa na ardhi, Haruni na nyoka wa shaba, kuvuka bahari ya shamu, walivyokumbuka vitunguu saumu cha Misri.

Hawa hawa walimkosesha Musa aisiingie nchi ya Ahadi akapiga jiwe litoe maji kwa amri yake pasipo kumtukuza Mungu wake, naye Mungu akamkasirikia. (Musa alikuwa na hasira kibinadamu nazo zikamponza).
 
Kati ya watu wazima waliotoka Misri na kuingia nchi ya Ahadi ni Kalebu na Joshua tu wengine walifia njiani. Musa mwenyewe aliishia kuiona kwa mbali kwa kuonyeshwa na Mungu na kaambiwa hutaingia utafia kwenye mlima huu.

Watoto waliozaliwa jangwani na wale waliokuwa chini ya umri wa miaka 18 ndio waliingia Kaanani ila watu wazima walifia jangwani.

Lengo kuu la wana wa Israel kuzungushwa miaka 40 lilikuwa wasije wakakumbuka njia na kuamua kurudi nyuma baada ya kukutana na mambo mazito na ya kutisha.

Pia wasije wakafika Kaanani na kuanza kuwafundisha mambo waliyoyajua kipindi wakiwa Misri hasa kuabudu miungu ya kigeni.

Ila hawa watu nao walikuwa vichwa ngumu kunung'unika, kulalamika, kulaumu na kukata tamaa ilikuwa ni kawaida yao,kumbuka mkutano wa Kora walivyomezwa na ardhi, Haruni na nyoka wa shaba, kuvuka bahari ya shamu, walivyokumbuka vitunguu saumu cha Misri.

Hawa hawa walimkosesha Musa aisiingie nchi ya Ahadi akapiga jiwe litoe maji kwa amri yake pasipo kumtukuza Mungu wake, naye Mungu akamkasirikia. (Musa alikuwa na hasira kibinadamu nazo zikamponza).

Umefafanua vizuri sana mkuu. Umeiva katika Neno. Asante sana. Nimebarikiwa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Back
Top Bottom