Mwanamke Huyu Kutoka Kenya Ambae Pia ni Raia wa Ugiriki. Anasema kwamba Si Kila mwanamke Anaeolewa na Mwanaume Tajiri ni Kwamba amefuata Pesa.
Bali Yeye Hajafuata Pesa ila ni Mapenzi ya dhati Tu Ndio yaliyompelekea kumpenda yeye binafsi anaeleza kua mapenzi ya kweli kwa waafrika kuwapenda wazungu yapo
Mojawapo ya makubaliano walioingia yeye na Mwanaume Huyu ni Kwamba Endapo Mwanaume atafariki basi mwanamke Huyu Hapaswi kurithi hata Shilingi Moja ya Mwanaume Huyu mfanyabiashara Tajiri Sana Huko Greece.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.