Nimependekeza kwa TUME YA RAIS YA HAKI JINAI, kwamba utaratibu wa MTUHUMIWA kuandikwa MAELEZO YA ONYO (Caution Statement), UFUTWE. Hii ndiyo sababu kubwa ya watuhumiwa KUTESWA wawapo VITUO VYA POLISI. Maelezo ya mtuhumiwa YACHUKULIWE MAHAKAMANI.
Haya mambo yanafanyika kwenye nchi ambayo ni KISIWA CHA AMANI. Kwa kweli MFUMO WA HAKI JINAI unahitaji KUUNDWA UPYA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.