Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Watu weusi wananiudhi sana (mwenyewe nikiwemo). Kazi kulalamika tu wakati adui wao mkubwa ni wao wenyewe. Mtu mmoja anakwapua Tsh. trillion 1.5 mali ya umma na bado mnasimama majukwaani na kulaumu wazungu.
Please niwache!
View attachment 2630467