Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Lakini kweli mtu mkubwa mwenye heshima zake ajichafue jina kwa kuuza sex toys??😅 si atajiharibia sana??
Ndugu yangu.

Hauzi sex toys. HAUZI

Ndoto yake ni humanoid - robot ambayo unaweza ukai-program mwenyewe ikakufanyia vitu unavyotaka. With AI the possibilities are endless.

Humanoids zinategemewa ku-mimic tabia za binadamu na zitakuwa msaada mkubwa kwa watu wenye upweke, wazee na wenye uhitaji. Tayari rudimentary AI Humanoids sasa zinaweza kuiga baadhi ya emotions zikakubembeleza na kukuchombeza mpaka ukajihisi una mtu laivu.

Hii ni new venture ambayo inafungua possibilities nyingi mpaka watu wengine wanaogopa...na Elon keshaona upenyo wa kupiga pesa nyingi sana.

Viwandani huko. Hata vitani. Migodini. Kazi nyingi za hatari. Humanoids watazifanya.

This is huge and life changing; na inaweza kutishia hata kutishia survival yetu kama wanadamu. Yaliyotabiriwa kwenye muvi ya iRobots yote yanawezekana....

Screenshot_20230502_163133_US Newspapers.jpg

Screenshot_20230502_163156_US Newspapers.jpg

Screenshot_20230502_163226_US Newspapers.jpg
 
Hata kama wataweza lkn haiwezi kuwa sawa na binadamu. Og ni og tu wazungu wapuuzi sana sijui wamewaza nini
Mawazo ya hatari haya...

Mambo mengi unayotumia leo mwanzoni yalionekana ni upuuzi pia. Usiwa-underestimate hao jamaa wakiamua. Inaweza ikawachukua muda mchache tu kubadili concept nzima ya sex na wakaihamishia kwingine kabisa.

Neuralink kwa mfano ina potential ya kukuwezesha kujua mtu mwingine anawaza nini...na hatimaye kuweza ku-download hayo mawazo yake...na hii ndiyo njia mojawapo ya kuishi milele. Mtu unadowload mawazo na experiences zako zote tangu utoto zinatiwa kwenye roboti na maisha yanasonga.....

Haya siyo mambo ya kudharau!
 
Mawazo ya hatari haya...

Mambo mengi unayotumia leo mwanzoni yalionekana ni upuuzi pia. Usiwa-underestimate hao jamaa wakiamua. Inaweza ikawachukua muda mchache tu kubadili concept nzima ya sex na wakaihamishia kwingine kabisa.

Neuralink kwa mfano ina potential ya kukuwezesha kujua mtu mwingine anawaza nini...na hatimaye kuweza ku-download hayo mawazo yake...na hii ndiyo njia mojawapo ya kuishi milele. Mtu unadowload mawazo na experiences zako zote tangu utoto zinatiwa kwenye roboti na maisha yanasonga.....

Haya siyo mambo ya kudharau!
Sawa
 
Back
Top Bottom