Halafu motoooo na mnatoNdani nyekunduuuu[emoji39][emoji39]View attachment 2617467
Upendo wa kweli bado upo? Stacia?Upendo wa kweli, ndani yake ndo kuna heshima kuna kujifanya mjinga na vingine vingi
Ukisikia hekaheka za Mwafrika ndo hizi sasa 😳
Wacha tuone mkuuHaya tutaona!
"Ukorofi" huwa haujifichi
Imebaki stori tu"Wakati nipo Juu kimuziki Zama zile nilikuwa nikiamka Asubuhi nabeba Hela kwenye Mfuko wa Rambo nakwenda Chuoni kwa kina Sinta pale DSJ namchukua yeye na marafiki zake Naenda kuwanunulia Wote Kuku, hiyo ndio ilikuwa Ni ratiba ya kila Siku" - Juma Nature.
KIKO WAPI SASA[emoji1787]View attachment 2617910