Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Sitakushika hataJamani bageshi...
Kama sina wallet je? 😳
Sitakushika hataJamani bageshi...
Kama sina wallet je? 😳
Kesho akikuomba kipenyo umnyime kazi huna 😂😂
Totoo, me shangazi yako ujue 😂😂
Nimemuuliza PM kasema amepata ng'ombe 36. Zinatosha hizi au aongezee mpaka zifike 50+?Totoo, me shangazi yako ujue 😂😂
kaka yako Shimba ya Buyenze ameshabariki 😁Totoo, me shangazi yako ujue 😂😂
Mi nafikiri ukishampea ukapata kazi ndiyo mmemalizana kumbe hiyo blackmail ndiyo inaendelea unakuwa mtumwa wake kila akitaka lazima umpee hata kama ulishaanza kazi?Kesho akikuomba kipenyo umnyime kazi huna 😂😂
Hapana
Wacha tuendelee lilia Utumishi
Soma vizuri uelewe masharti...kaka yako Shimba ya Buyenze ameshabariki 😁
Dogo sijui anataka nini aisee, nishamwambia aachane na sisi mashangazi ila hataki.Nimemuuliza PM kasema amepata ng'ombe 36. Zinatosha hizi au aongezee mpaka zifike 50+?
Inaonekana hatakata tamaa kirahisi huyu kijana 😁
unaweza penda kijana au mzeee 😂Dogo sijui anataka nini aisee, nishamwambia aachane na sisi mashangazi ila hataki.
mshamba_hachekwi mbona kuna pisi kali nyingi tu zifukuzie, me mstaafu nitakupoteza bure.
yeye ndo anazingua, mara atake mara akatae😂Soma vizuri uelewe masharti...
Ng'ombe braza ng'oooombeeeee!