Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hata kama utakuwepo itakuwa bado ni teknolojia ghali sana na ni matajiri wakubwa tu watakaoiweza. Pambana sana huo mwaka ukukute una at least $100+ millions. Hapo mtaenda sawa 😁

Mimi kama nitakuwepo nitakuwa na miaka 99 duh! 😳🙏🏿
Aseee ngoja nizisake ila duuuuh itabidi nihamie mambele sasa mkuuu 😁😁😁

Maana huku bongo tuko nyuma nyuma kwenye kila kitu
 
Screenshot_20230507_090646_Instagram Lite.jpg
 
Hawali?

Kuna vimbaumbau vinafukia hatari. Na haviongezi hata kilo moja yaani. Labda calories huwa zinaishia kwenye gubu, makelele na roho mbaya 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Screenshot_20230510_085817_Instagram Lite.jpg
 
Hawali?

Kuna vimbaumbau vinafukia hatari. Na haviongezi hata kilo moja yaani. Labda calories huwa zinaishia kwenye gubu, makelele na roho mbaya 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
View attachment 2616695
Najiona kabisa sijui shida ni nn lkn 😅😁😁😁
 
Back
Top Bottom