Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,912
- 136,619
Babu shikamoo,,,,upo salama?
Babu shikamoo,,,,upo salama?

,hii imenikumbusha Jana nilikuwa na dogo mmja mhudumu wa Hoteli za Kimataifa,anasema juzi kati wachina walikuja na vichwa vinne vya mbwa vibichi kwenye mfuko wakaomba wapewe jiko na vyombo wafanye mahanjumati yao..
Hahahaha,hii imenikumbusha Jana nilikuwa na dogo mmja mhudumu wa Hoteli za Kimataifa,anasema juzi kati wachina walikuja na vichwa vinne vya mbwa vibichi kwenye mfuko wakaomba wapewe jiko na vyombo wafanye mahanjumati yao..
Marahaba mjukuu.Babu shikamoo,,,,upo salama?
Ladha ile ile safi sana.......Safi sana, mtu akikuringia unaenda kutoa copy yake, mengine yanaendelea...
Kwema BabuMarahaba mjukuu.
Kwema huko?
Nimekumiss![]()
Nitakuja!Kwema Babu
Nimekumiss pia Babu
Nimekuchek Juzi aisee sijaona tik 2,,,nikashtuka,
Unafanya kazi serikalini, mshahara wako ni shilingi laki 8. Huna biashara nyingine ye yote lakini kwa mshahara huo huo unamiliki viwanja Mbweni na Kigamboni, unajenga maghorofa Sinza na Tabata, umenunua V8, unasomesha watoto Uchina na Uturuki. Hukuachiwa urithi wo wote na wazazi hivyo anayejua unapataje pesa hizo ni Mungu pekee anayejua na genge unalotumika pamoja nalo. Unawasaidia katika kupora, wewe unabaki na chenji (Amos 5:11).
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile MwamakulaView attachment 2616368
Hata kama utakuwepo itakuwa bado ni teknolojia ghali sana na ni matajiri wakubwa tu watakaoiweza. Pambana sana huo mwaka ukukute una at least $100+ millions. Hapo mtaenda sawa 😁I wish niwepo huo mwaka 😁😁😁😁🤗
View attachment 2616170