Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Dah kweli tumetoka mbali, ung'eng'e na sound zilikua zimelala kichwani, nimekula sana hela za watu wanaomba niwaandikie barua
Hata mimi aisee...

Nilikuwa na daftari kabisa la sampo mbalimbali. Baharia anachagua anayotaka mi namwandikia...na nilikuwa na handwriting moja matata sana. Hela za vitumbua vya walimu nilikuwa sikosi aisee 😁😁😁
 
Screenshot_20230506_194244_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom