Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
Ukitaka kujua tuna roho nzuri, angalia dunia ilivyojaa tumewazaa. Achana na hii teknolojia ya sasa ya kupata watoto.Tatizo hamna shukrani na mna roho mbaya
Ukitaka kujua tuna roho nzuri, angalia dunia ilivyojaa tumewazaa. Achana na hii teknolojia ya sasa ya kupata watoto.Tatizo hamna shukrani na mna roho mbaya
Kuzaa kitu gani bwana sii mshukuru sie tunawapea mbeguUkitaka kujua tuna roho nzuri, angalia dunia ilivyojaa tumewazaa. Achana na hii teknolojia ya sasa ya kupata watoto.
Ajabu kweli kweli. Uchoyo wakijinga huo. Mie ata mke wangu ruhusu kuwa na mcheps
Nina vijana wawili tayari na sina dought nao kabisa tangu utungaji wa mimba zao na hata walipo zaliwa! Nimefanana nao kwa asilimia kubwa pia hata wao wanafanana sana! Mbali na hivyo wana character nyingi za kufanana kabisa achilia mbali mama zao ni tofauti!Yaaani sielewi hawa watu wanafikiria nn ila in short never ever trust a woman. Bro utaliwa vibaya sana mkuuuuu. Yaani gonga sepa ukieka strings eti ni mtu mzuri ooooh hooo sijui mtu wa Mungu utaliwa mkuu
Kaa chonjo
Pale kazi mmeenda lunch lakini ela ya kula huna unasingizia umefunga na ukabaki mwenyewe site



Hapo sawaIa Nina vijana wawili tayari na sina dought nao kabisa tangu utungaji wa mimba zao na hata walipo zaliwa! Nimefanana nao kwa asilimia kubwa pia hata wao wanafanana sana! Mbali na hivyo wana character nyingi za kufanana kabisa achilia mbali mama zao ni tofauti!
