Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Niko mjanja hatari...utakutana na mjuba
Huwa nawahi stendi/uwanjani...
Na kuusoma mchezo kwa mbali.....
Nikiona yanayopaswa kuwemo hayamo...au yaliyomo siwezi kuyamudu....huyoo nasepa kiulaini nazima na simu kabisa.....
Silver Palm alikuja mtu nikaona kabisa hapa nitachemsha...nikiwa kule kwenye geti la ile hospitali ya Lutheran....
Akachoka kusubiri reception nikamwona anasepa zake....
Akili mtu wangu...
Akiliiii!
utakutana na mjuba




