Hii paper ngumu
Bageshi smart sana yule hakuwa na haja ya kufanya huu utopolo. A+ straight tangu chekechea mpaka Uni. Wasukuma siye siyo wa mchezo mchezo 😁😁💪📚📚📚Hukupitia haya?? Lenie
Siko humble aisee 😂😂
Umeanza na misulusuti yako 😬😬😬😬Hahaha poza na hii mzeeView attachment 2483707
Sasa kama hakusema ni coffee date
Ndiyo unaagiza kuku?Sasa kama hakusema ni coffee date
😂😂😂 kuku mzima kama mnakula wote ni sawa.Ndiyo unaagiza kuku?
Tena mzima?
Ili ubakishe uombe ufungiwe to go.
Wakati mwenzio bajeti ya coffee.
Siyo poa!
Si mnaambiana bwana. Kuwa this is just a coffee date. Light convo. Just to get to know you a lil bit more...usually ni coffee na light snacks ila mwanaume unaweza kujiongeza ukam-surprise na kakitu kengine akapendako...Nice flowers, expensive chocolates...au hata drink nyingine aipendayo..Shimba ya Buyenze 😂😂😂😂😂
Sasa utajuaje ndio coffee date? Ama depends na mtapoenda?
View attachment 2483734
Wajua hata binti akiwa na hela anaweza lipia tu hilo likuku lizima aliloagiza na malalamiko yakaisha. Simple sana haya mambo 😁😁😂😂😂 kuku mzima kama mnakula wote ni sawa.
Sasa si tungeenda tu evening walk tu kama hamna hela, ndio tutembee huku tukila mahindi
Kuna mtu alinitoa dinnerNdiyo unaagiza kuku?
Tena mzima?
Ili ubakishe uombe ufungiwe to go.
Wakati mwenzio bajeti ya coffee.
Siyo poa!
Wajua hata binti akiwa na hela anaweza lipia tu hilo likuku lizima aliloagiza na malalamiko yakaisha. Simple sana haya mambo 😁😁