Duh, aisee🤔Kama kile chuo kilichompa King Msukus. Ni dola elfu 5 tu tunaanza kukuita Dr. Mshana. Walitaka pia kumpiga Bagonza akawatolea nje akawaambia kwamba yeye ana vyuo zaidi ya 10 vinavyotaka kumpa na vingine tuzo hiyo inakuja na bakshishi ya mpaka 20K....
Aisee!
Utelezi unatafutwa hapo

Hapo ukimpq konzi au kibao, lazima asikilizieKipara ngoto, maji ya moto......
View attachment 2482940
Mbarikiwe