Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuna mtu alinitoa dinner
Nikajishaua ule uzungu wa ‘order chochote nakula kasoro sumu.

Mtu akaniuliza ushawahi enda eneo flan? Nikamwambia hapana. Akasema basi twende pale, wana vyakula vya kimataifa.

Tumefika
Nikaagiza glass ya white wine- nilichofaidi 😂
Chakula si ndo yeye sasa, basi akaagiza kitu kinaitwa INJERA, ni Ethiopian food.
Aliisifiaa, nikadhani itakuwa poa.
Mhh ngoma ilikuwa mbaya jamani 🙈 najikaza ila wapi,, ye anafakamia tu.

Nimekoma huo uzungu
Agiza- ni mwendo wa makange nusu tu
We nawe. Kwa nini unaagiza mavyakula ambayo huyajui?

Unaagiza unachokipenda halafu hicho kipya unakijaribu bites tu from his plate...na ukikipenda safari nyingine ndo unakiagiza ili kumfurahisha.

Ulipofika home ilibidi ukajipikilishe tena ama? 😁
 
Kuna mtu alinitoa dinner
Nikajishaua ule uzungu wa ‘order chochote nakula kasoro sumu.

Mtu akaniuliza ushawahi enda eneo flan? Nikamwambia hapana. Akasema basi twende pale, wana vyakula vya kimataifa.

Tumefika
Nikaagiza glass ya white wine- nilichofaidi
Chakula si ndo yeye sasa, basi akaagiza kitu kinaitwa INJERA, ni Ethiopian food.
Aliisifiaa, nikadhani itakuwa poa.
Mhh ngoma ilikuwa mbaya jamani najikaza ila wapi,, ye anafakamia tu.

Nimekoma huo uzungu
Agiza- ni mwendo wa makange nusu tu
Injera. Nikienda Ethiopian restaurant nitaijaribu
 
We nawe. Kwa nini unaagiza mavyakula ambayo huyajui?

Unaagiza unachokipenda halafu hicho kipya unakijaribu bites tu from his plate...na ukikipenda safari nyingine ndo unakiagiza ili kumfurahisha.

Ulipofika home ilibidi ukajipikilishe tena ama? 😁
Katika kupenda na kutamani mambo mapya 😂

Ndio, nisingeweza lala vile 😁
Nikapikilisha tumayai nikalala
 
Si mnaambiana bwana. Kuwa this is just a coffee date. Light convo. Just to get to know you a lil bit more...usually ni coffee na light snacks ila mwanaume unaweza kujiongeza ukam-surprise na kakitu kengine akapendako...Nice flowers, expensive chocolates...au hata drink nyingine aipendayo..

Sasa coffee date mtu anaparamia likuku lizima dah! Kama ni mimi hutanisikia tena wallahi! 😁
Kwahiyo tuwe tunauliza
Ni dinner date or coffee date 🤣




Cc Lenie njoo ukopi ujuzi, ndio usijeonekana food monga
 
Kwahiyo tuwe tunauliza
Ni dinner date or coffee date




Cc Lenie njoo ukopi ujuzi, ndio usijeonekana food monga
Mwanaume mstaarabu na mwenye exposure atakuambia kama ni coffee date ama vinginevyo. Coffee date hata uvaaji wake ni tofauti na date ya kweli.

Kama hajasema kama ni coffee date aisee we agiza hata mbuzi mzima ufaudu.
 
Mwanaume mstaarabu na mwenye exposure atakuambia kama ni coffee date ama vinginevyo. Coffee date hata uvaaji wake ni tofauti na date ya kweli.

Kama hajasema kama ni coffee date aisee we agiza hata mbuzi mzima ufaudu.
Mbona somo linazidi kuwa pana 🤣
Ila kuna memes nilionaga skin jeans sio nguo ya mtoko 😂
Kwahiyo? Dah 😂😂
 
JamiiForums-665077896.jpg
 
Si mnaambiana bwana. Kuwa this is just a coffee date. Light convo. Just to get to know you a lil bit more...usually ni coffee na light snacks ila mwanaume unaweza kujiongeza ukam-surprise na kakitu kengine akapendako...Nice flowers, expensive chocolates...au hata drink nyingine aipendayo..

Sasa coffee date mtu anaparamia likuku lizima dah! Kama ni mimi hutanisikia tena wallahi! 😁
Nishafeli bila serengeti lite bariidi na kanyama ka mbuzi kakushushia 😬😬😬😬😬
 
Kuna mtu alinitoa dinner
Nikajishaua ule uzungu wa ‘order chochote nakula kasoro sumu.

Mtu akaniuliza ushawahi enda eneo flan? Nikamwambia hapana. Akasema basi twende pale, wana vyakula vya kimataifa.

Tumefika
Nikaagiza glass ya white wine- nilichofaidi 😂
Chakula si ndo yeye sasa, basi akaagiza kitu kinaitwa INJERA, ni Ethiopian food.
Aliisifiaa, nikadhani itakuwa poa.
Mhh ngoma ilikuwa mbaya jamani 🙈 najikaza ila wapi,, ye anafakamia tu.

Nimekoma huo uzungu
Agiza- ni mwendo wa makange nusu tu
Hadi jina ukalikariri jinsi gani msosi ulikua huzuni kwako😂

Kujaribu menu mpya ni nzuri ila very risky😄
 
Back
Top Bottom