Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Unaendeshaje tawi feki la benki?
68442991.jpg
 
Mhola nkoyi. Gīnehūkwene? Mulīmhola?

Wajinga sana hao jamaa. Yaani wanasubiri kwanza mpaka wafike kwenye vitengo nyeti ndiyo wanaanza mashambulizi. Niliwahi kumshuhudia mama mmoja pale Somanda akitoa nguo zote aisee bila kujali. Tena ukute yale makubwa yenye mdomo utafikiri mkasi mweh!
Shakono mhola/chiza/shabuza sana bhageshi

Mbaya zaidi ukutwe umefuga vuzi kunako kitengo nyeti

Huwa wanaingia ndani ndani humo kumpata inakuwaga kazi kweli kweli
 
Mitandaoni humu 95% porojo. 4% ukweli nusu. 1% ndo ukweli halisi...

Ni kweli niko 76...na mayutongs ni fantasy za ujanani huko miaka ya 60 na 70 wakati damu ingali ikichemka!

Siku ukipita Rocky City tutafutane bageshi
View attachment 2469367
Dah..
Ngoja tusiandikie mate wakati wino upo.
Ntakucheki someday insha'Allah, maana huko Kanda Maalum napita mara nyingi😁
 
Back
Top Bottom