Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230103-120046.jpg
 
Si lazima kuelewa kila kitu


Kwa nini kuna apostrophe katika "saa"?

Swali Kwa nini kuna apostrophe katika neno "saa"? -

Jibu Kiapostrofi hutumika katika saa kwa sababu neno hilo ni mkato wa maneno "ya saa." Kama tu mikazo mingine, apostrofi huchukua mahali pa kukosa maneno au herufi kutoka kwa neno au kifungu kirefu cha maneno. Kwa mfano, apostrofi katika "usifanye" inachukua nafasi ya 'o' katika neno "si," na apostrofi katika "utasikia" inachukua nafasi ya 'wi' katika neno "mapenz
 
Si lazima kuelewa kila kitu


Kwa nini kuna apostrophe katika "saa"?

Swali Kwa nini kuna apostrophe katika neno "saa"? -

Jibu Kiapostrofi hutumika katika saa kwa sababu neno hilo ni mkato wa maneno "ya saa." Kama tu mikazo mingine, apostrofi huchukua mahali pa kukosa maneno au herufi kutoka kwa neno au kifungu kirefu cha maneno. Kwa mfano, apostrofi katika "usifanye" inachukua nafasi ya 'o' katika neno "si," na apostrofi katika "utasikia" inachukua nafasi ya 'wi' katika neno "mapenzi

O'clock
 
STAR TV NA REDIO FREE KUFUNGWA.

Steve Diallo, mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM amesema “Wanadai malipo ya mishahara ya miezi tofauti, wapo wa miezi mitatu na wengine zaidi, tumetoa taarifa TCRA na kwenye Ofisi ya Kamishna wa Kazi, hata Waziri Nape (Nnauye) alipiga simu kuulizia kinachoendelea.”

Ameongeza “Tunafanya vikao na wafanyakazi ili kutatua changamoto. Pesa hatuna, hatuzalishi ya kutosha ukilinganisha na mahitaji yaliyopo ya Satellite na kukatika kwa umeme. Kukatika-katika kwa umeme kumesababisha matumizi makubwa ya jenereta.”.
 
Haha!!Halafu huwa wanakimbilia kunako

Kwema lakini bhageshi
Mhola nkoyi. Gīnehūkwene? Mulīmhola?

Wajinga sana hao jamaa. Yaani wanasubiri kwanza mpaka wafike kwenye vitengo nyeti ndiyo wanaanza mashambulizi. Niliwahi kumshuhudia mama mmoja pale Somanda akitoa nguo zote aisee bila kujali. Tena ukute yale makubwa yenye mdomo utafikiri mkasi mweh!
 
Back
Top Bottom