Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,377
Ndo sababu ya kudumaa kwa maendeleo huko mikoa ya Kusini. Huyu jamaa aliyekimbia nyumba yake akikusimulia utashangaa sanaKwahiyo umeamua kunimaliza
Anyway kusini ni kiasi babu, lkn upo kuna washenzi huku mbaya,
Dogo kuna siku kaamka hafumbui macho anasema wamemtpigilia misumari dadeq, aisee tulivurugwa misumari hatuioni lkn macho hayafumbuki kutwa
Uchawi upo aisee.

, aisee tulivurugwa misumari hatuioni lkn macho hayafumbuki kutwa



ina maana kuna jemba ilikua inampakua huyo mnyama au macho yangu ni mabovu