Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwahiyo umeamua kunimaliza
Anyway kusini ni kiasi babu, lkn upo kuna washenzi huku mbaya,

Dogo kuna siku kaamka hafumbui macho anasema wamemtpigilia misumari dadeq, aisee tulivurugwa misumari hatuioni lkn macho hayafumbuki kutwa

Uchawi upo aisee.
Ndo sababu ya kudumaa kwa maendeleo huko mikoa ya Kusini. Huyu jamaa aliyekimbia nyumba yake akikusimulia utashangaa sana
 
Kwa nini usibadili mwenyewe?
Hayajakukuta haya eeeh,yaani siendi popote zaidi ya jukwaani tu.
Screenshot_20221227-135850.jpg
 
Ndo sababu ya kudumaa kwa maendeleo huko mikoa ya Kusini. Huyu jamaa aliyekimbia nyumba yake akikusimulia utashangaa sana
Yes,utaona kama maigizo,lkn ni kweli yapo sana,

Dogo kuna siku aliamka na kusema dada leo umenikaba usiku, dadeq,

Wachawi bhana,

All the all

WATASHINDANA LAKINI,HAWATASHINDA.,,,MUNGU NI MWEMA
 
Back
Top Bottom