


🪒SUMA JKT naomba uyu Mdada apewe ulinzi Kisha wizara ya utalii imjengee Sanamu pale njia panda ya Mwanjelwa MbeyaView attachment 2459509
KumbeeeKuna utemi mwingi sana kwenye hiyo kazi
Wanawake wangelizingatia hili tu ndoa nyingi zingekuwa na amani.SUMA JKT naomba uyu Mdada apewe ulinzi Kisha wizara ya utalii imjengee Sanamu pale njia panda ya Mwanjelwa MbeyaView attachment 2459509



